المدة الزمنية 6:29

AIRPORT HAINA UMEME, RATIBA ZA NDEGE HAZIELEWEKI, HAMUWASILIANI - MWITA WAITARA

بواسطة Millard Ayo
13 601 مشاهدة
0
34
تم نشره في 2021/07/29

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara amefanya ziara katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere huku akiutaka uongozi wa uwanja huo kuboresha mapungufu waliyonayo ikiwemo suala la kuwasiliana na idara nyingine. Mbali na hilo pia Waitara amezungumzia suala la ratiba za ndege kutoeleweka na uwanja wa ndege alioukuta hauna umeme.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 38