@angeldikson3270منذ 4 سنواتjamani me hata sielewi hamnipagi coment 13
@
@naitwachilipo892منذ 4 سنواتNadhani ni Miujiza tu ya Mwenyezi Mungu,Kama ilivyo Kwa Ngorongoro (chemchem) za maji yanayo chemka . 4
@
@sharifamfaume9342منذ 4 سنواتKazi nzuri kaka mungu akuweke, Tim WiFi usiwaze kuhusu bando 16
@
@tttooo156منذ 4 سنواتet kabla hujashangaa na sisi unawez shangaa simu yako imeisha bando mbavu zangu mie 13
@
@komboarts7110منذ 4 سنواتYIB ni moja ya online TV tunazohitaji kuwa nazo kabisa kwa elimu mbalimbali na si kuzungumza umbea tu, mko wapi tunawapataje? 2
@
@erickmack2534منذ 4 سنواتMe nadhani ni madini flani yapo chini ya eneo hilo yananguvu zinazo sababisha vitu kupanda badala ya kushuka. 5
@
@geraldrenatus2996منذ 4 سنواتHapo kikubwa n maombi ya kubomoa nguvu za giza 3
@
@ursulamkuele1890منذ 4 سنواتMi Nadhani huko ndiko tunakoenda tukifa 1
@
@geresonochieng7098منذ 4 سنواتNdio maana binadam kwakuwa hawaamini iliwajuwe kunamungu tu 2
@
@asiamusilimohammed1601منذ 4 سنواتKuna viumbe wanaoendana na mfumo wa hiyo sehemu wanaishi 1
@
@micamathew2595منذ 4 سنواتTumwachie tu Mungu ila tusikome kuomba.
@
@christiangodfrey8884منذ 4 سنواتNimakaz ya aliens .yani nimakazi. Ni mji huo wa watu 2
@
@salujuma6873منذ 4 سنواتYib tunawapenda tena sana lakini tumechoka na vidio hizi kila siku hakuna nyengine? 2
@
@fadhilkadadi3737منذ 4 سنواتvip yib hamna group la WhatsApp ili mniunganishe? 5
@
@fredrickmassare6782منذ 4 سنواتMwendelezo was story ya Medusa umeishia wapi? Broo 3
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Sehemu Yennye Nguvu za AJABU Inayofanya Watu Wanaelea Hewani.:
. 4