المدة الزمنية 15:5

AZIZ KI NI MCHEZAJI MKUBWA/AZAM WANAKAMIA/NINI KIMEMKUTA NGUSHI/KRAMO, CHE MALONE WANAJUA BOLI

بواسطة Mpenja TV
14 251 مشاهدة
0
146
تم نشره في 2023/08/09

Leo August 9 2023,katika Dimba la Mkwakwani jijini Tanga inapigwa mbungi ya nusu fainali ya kwanza ya ngao ya jamii 2023 kati ya Yanga SC na Azam FC,Saa moja Usiku. Mpenja TV tunakuletea taarifa za matukio yote yatakayojiri kwenye mbungi hiyo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 13