المدة الزمنية 1:14:43

NYUNDO YA BARUAN MUHUZA : Ommy Dimpoz na mengi usiyoyajua

بواسطة Azam TV
15 688 مشاهدة
0
230
تم نشره في 2019/04/12

Ni Omary Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz, msanii wa muziki wa bongo fleva. Miongoni mwa mambo aliyofunguka na bifu lake na Diamond Platinumz, siri ugonjwa wake na sababu za kutibiwa na Gavana wa Mombasa Hassan Ally Joho, historia yake kimuziki, hatma ya muziki wake na mengine kibao. Ni kwenye kipindi cha #NyundoYaBaruanMuhuza ambacho ni kila Alhamis saa 1:00 usiku #AzamSports2 na Baruan Muhuza.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 29