المدة الزمنية 33:20

MASWALI NA MAJIBU

بواسطة BABU HAJI
1 178 مشاهدة
0
25
تم نشره في 2021/04/10

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 23
  • @
    @ComtomYgHusseinHusseinlast month Assalam aleikum mwalimu babu hajji kwahisani yako kama nithakuwa nnakukosea naomba unisame alikuwa naomba Sura za kusomea pete zangu kuwa na majambo pete nyekundu pacha msikiti na blue bahari hizi niza Tiba nakuomba unisaidie ni Sura gani ama nikisomo gani unisaidie mwalimu wangu inshallah Allah akuzidishie mwalimu wangu ... 1
  • @
    @pauljackson81203 years ago dk sijakuelewa pilipili unaweka kwenye nyanya 1
  • @
    @annabelwangila98822 years ago Babu nimekuskiliza vizuri sana lakini naomba nikuulize?mimi ni mke wa pili,na mume bado anatoka inje hivi naweza kumfunga mimi? 2
  • @
    @saidisalanda17203 years ago Swali langu ni mwili kufa ganzi na namna yakutoa hiyo ganzi 2
  • @
    @benardayiendaondari49172 years ago Hi Mimi Niko Nairobi Kenya, nawezaje kukupata 1
  • @
    @draye33573 years ago Je wakati wa kukaa liadha na kitabu chekundu,
    Yaan mda wa kukipa nguvu hua kunahitajika Mishumaa na sako?
  • @
    @liberatusmwesiga85953 years ago Babu nahitaji dawa ya Biashara ambayo itanileteha wateja wengi 2
  • @
    @amurirams83353 years ago Babu, sisi tuko mbali tutapaje vitabu ??? 1
  • @
    @zaynulkhatamiiy20233 years ago Jinsi ya kuita khadimu wa kumtuma akuletee pesa unafanyaje??? 1