@cholokogil40413 years agoTulio kuwa tunasubiri kwa makini madenge nipe like apa 54
@
@yusraomary31703 years agoNzuri mno basi msicheleweshe kutoa muendelezo 7
@
@kingayo42723 years agoKazi inakuwa ngumu naona unakawiya sawa. 2
@
@dyderaryaan85113 years agoHata skua napata usingizi juu inachelewa kutoka next time fanyeni bdii 😔😘😘🤦😂 9
@
@aisharamadhani87253 years agoAh nimependa kijifunza kingereza kwa hizi video 3
@
@wilsonfbipolice9113 years agoMmmmh atariii mbona umekawia kuipost jameni twende Kazi 6
@
@ghislaine28513 years agoNzuri sana .Ila tafadhali sana ongeza dakika angalau 20 9
@
@nooragana96683 years agoSafi sana iko sawa hongereni nyote mwendelzo tafadhali 2
@
@dafrosachale57223 years agoLike jaman hata 100 to za 2o21 kwa madenge 12
@
@egideniyonkuru97053 years agoTulikuwa tumeyingoja kwa hamu na gamu💞💞💞🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 8
@
@ramadhanimhini86693 years agoMuendlzo mzr atr hlf mkiwh mnafny vzr sn 6
@
@kabilayetu47493 years agoWakwanza kuweka coment like 100 zifike 14
@
@fredyfalsafa68623 years agoMnachukua muda jamani. DAAAAAH NIMECHEKA 6
@
@ihuriroGroup3 years agoTulio kuwa tunasubiri kwa makini madenge nipe like apa from Burundi 9
@
@ayubleo3 years agoDah hii mpka nimefanya kurud ya nyuma nilishasahau,ila hawa jamaa wanafail Sana bhn 2
@
@chrissjoel77523 years agoMlisema kila wiki mtaweka mwendelezo sasa umepita mwezi hamjaweka nyie nao sijui mnakwama wapi 🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒🤒 2
@
@fredshao75883 years agoMazoez ayoooo mnachelewesha ivooooo loooo nawakachaaa 1
@
@maryamemmanuel18803 years agoTumesubir kwa ham msitucheleweshee sana mwaka mpya mwendelezo mpya 3
@
@tausimagubika81813 years agoDah nzuri sana ila mnachelewa kutoa muendelezo 1
@
@rbbr__k83923 years agoMuongeze angalau iwe dakika 30-46 duhhhhh 4
@
@silaspetro52583 years agoNzur ila jitahidini kuongeza dk kama 20 hiv 3
@
@omarhamad94893 years agoMuna ichelewesha mpka tume sahau kama kuna madenge 1
@
@ZakiaMmole3 weeks agokiyongozi napenda kujuunga kwenyekikundi chako na mm kunakazizangu
@
@zulfatmussa27473 years agoHamna uhakika na kaz zako mbona unachelewesha sana 2
@
@msafilially56163 years agotatizo mnacherewa kutuma ilanashukulu ikopoa 1
@
@ashuraabdallah88333 years agoCjamuona mchumba madenge😘😘do you see a red car?? mmmmmmh mmmh 1
@
@Jifunzempiraviamikalusi3 years agoMbona mnachukua mda sana Wa kuendeleza episode au Kuna tatizo
@
@mangapineema76523 years agoMmmmmh mbona wachelewesha hivo jitahidi nawe angalau kila wiki poa dear 5
@
@yohanakivuyo42613 years agoJamani mbona mins chelewa kutoa hii vituko
@
@ismailrajabu21613 years agoUnazingua kipande hiki sijakielewa oyoo nani
@
@OmanOman-ik9sp3 years agoJaman Mbona mnachelewesha mpaka tunasahau
@
@osamabushoke36783 years agoTunasubili hd 2nachoka jitahd muwah et
@
@ajoseph313 years agoTatizo fupi alafu inachukua mdaaa kutoka, jamaaa boresha muda wa clip bn cz unakata uhondo mazima ikiwa fup, na unavyochelewesha kuiyoa tena paka tinaisahau 3
@
@awazijuma35553 years agosemeni basi hata kuilipia tutalipia ili tuipate yote 1
@
@nemhinamjata32746 months agoSorry about that you are not available for remote playback
@
@AllDesigningTZ3 years agoKatuni zenu ni fupi mno arafu zinachelewa sana kutoka au hamjajipanga?
@
@osamabushoke36783 years agoSaiv mmeanza kufeli mweze 6 inapita bila ku2ma kuweni chap
@
@omwamimwenyewe3 years agoKazi poa...nikomboe pia..subscribe mine too
@
@iddke.27793 years agoDuuuuuh....nina hamu ya kuona jinsi jamaa Hawa wawili wakimbaka mtoto wa boss....@iddke nimetegea na kufatilia kipndi chenu kiukweli 2
@
@gendymwaxamila73293 years agoOya mbn hakuna muendelezo I ended 12 episode
@
@khadijahussen4343 years agoKwan watunga stor hii huwa wanakufa na kufufuka ama?
مقاطع الفيديو ذات الصلة على DIMOSO KUKOMBOA GARI LA MZUNGU LILILOPOTEA - MADENGE: