Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF, ulifanya ukarabati mkubwa wa Hoteli ya Mkoani Pemba, na kuifungua rasmi tarehe 5/8/2020 ambapo mgeni rasimi wa shughuli hiyo alikua ni Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 3
مقاطع الفيديو ذات الصلة على SHEREHE ZA UFUNGUZI WA HOTELI YA MKOANI PEMBA: