Wakuu wa wilaya za Kaliua,Uyui,Nzega na Igunga wamepokea kwa mshtuko taarifa ya kustaafu kwa aliyekuwa Mkuu wa Tabora Aggrey Mwanri na wameleza namna alivyowasimamia katika utendaji wa kazi
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 49
@
@karoneynehemiah3533منذ 4 سنواتKusanya hawa wote sukuma ndani,man toronto tz will miss you in service. 4
@
@majidimansury3751منذ 4 سنواتsafi ukiwa mwema utasifiwa ila ukiwa mmbaya utalaaniwa my Allah mpe maisha marefu ynye afya mkuu hyo 5
@
@bryanfelix1172منذ 4 سنواتGood leader may God give u alot of grace I promise you will be promoted to high level especially in pccb sector 3
@
@juliejaphet2700منذ 4 سنواتHilo jembe lazima lipatiwe shughuli za kufanya halitakaa bure bado sn . 5
@
@SM-fu1yvمنذ 4 سنواتNaomba mweshimiwa rais ampe huyu mzee cheo kingine mimi binafsi huwa namfatilia sana speech zake mzee agrey 4
@
@zuberigwakula8531منذ 4 سنواتNani hajapenda kustaafu kwa Mwanri kama mimi 34
@
@francisrukeisa6299منذ 4 سنواتHuyo mzee ingawa sijakutana naye ana kwa ana lakini nimefuatilia utendaji wake wa kazi ni makini. Naomba serikali imwangalie kama hupo uwezekano naomba mweshimiwa Rais amwongezee hata miaka mitano. 5
@
@charlesfrolence1983منذ 4 سنواتdah tutammic saana mzee wetu MWANRI anyway kila la kheri kwa mzee uyoo 1
@
@mustafahassan8286منذ 4 سنواتMkoa wa tabora sio tu walipata mkuu wa mkoa pia walipata Rafiki mungu amuongoze mzee katika maisha yake 2
@
@christinamichaeel9713منذ 4 سنواتDah naskitika sana mkuu wa mkoa wangu kustaafu
@
@wahidkombokhamis4330منذ 4 سنواتTujifunze kupitia mzee wetu Mwanri,aliishi na watu vizuri na hakuweka mbele uchama bali maendeleo, tujifunze kuwekeza pia kwa binaadam wenzetu kwa kuwatendea mema 1
@
@MrCosmas15منذ 4 سنواتMzumbeor Udsm, mpeni Mwanri PhD ya falsafa ya uongozi kutoka na weledi na mchango wake mkubwa kwa Taifa kama mnavyotoa kwa marais, anasatahili kabisa heshima id="hidden3" class="buttons"> hiyo. Kwa kweli tumefurahia uongozi wako. Tunakutakia maisha marefu Dr Mwanri ....وسعت7
@
@rassimbaengswahili6191منذ 4 سنواتNamimi binafsi nimesikitishwa Sana na taatifa za kujiuzulu kwake, nilimpenda Sana tena Sana mkuu huyu. Ni mcheshi, mahiri ktk kazi na mfuatiliaji, hakika alikua Jemedari ktk majukumu ya ukuu wa mkoa 1
@
@husseinkatuga414منذ 4 سنواتTutakumis sana mkuu wetu wa mkoa wa tabora
@
@abbyadams8691منذ 4 سنواتMi nilimpenda alivyokuwa mpenda mazingira.Alisimamia sana kuifanya Tabora kuwa ya kijani. Naomba Magufuli amchague kuwa Waziri wa Mazingira. 1
@
@simongalahenga6858منذ 4 سنواتHakika hata Mimi nitamis San ingawaj hakuwa kiongoz wangu
@
@kekiplus1andonlyمنذ 4 سنواتHuyo mzee tayari ana cheo.chake awamu ijayo.kwaiyo lazima astaafu kwa muda 7
@
@benedictodaniel323منذ 4 سنواتJamani Mh Rais mpatie kazi yoyote Huyo mzee Nimchapakazi usimwache akae nyumban tu ,
@
@saidbabu9198منذ 4 سنواتMweshimiwa Rais kweli aongee na mzee wa Toronto, agombee ubunge popote pale atapita tu vijana bado wanamuhitaji. Soma hiyo tutapigwa mkenge, kweli ulitufurahisha sana.
@
@prophetfaithmasimbani8742منذ 4 سنواتIjapo kuwa naishi mbeya. Toronto sijafika .lakini nilipenda kumsikiliza MZEE wa sukuma ndani!!!!!. Nami kwa kweli nitammis .MZEE karibu mbeya
@
@saidimazengo9934منذ 4 سنواتHuyu mzee alifanya kazi kwa Niaba ya wazee ,na aliwainua wazee kuonesha kwamba uzee sio uzembe 1
@
@mathayodundo5433منذ 4 سنواتAgombee jimbo lakawe njia zamitaa hazipitiki 1
@ayoubabdull1265منذ 4 سنواتKama nyie ndio wanafunz wake kwa nin nyie msifany kaz kama yey .pumbav san .gar zipo dereva yupo tatizo lenu nin msiende maeneo husika kama yey .pumbav.. 1
@
@MrCosmas15منذ 4 سنواتMzumbeor Udsm, mpeni Mwanri PhD ya falsafa ya uongozi kutoka na weledi na mchango wake mkubwa kwa Taifa kama mnavyotoa kwa marais, anasatahili kabisa heshima id="hidden9" class="buttons"> hiyo. Kwa kweli tumefurahia uongozi wako. Tunakutakia maisha marefu Dr Mwanri ....وسعت7
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MA-DC WASHTUSHWA KUSTAAFU RC MWANRI ALIKUWA MWALIMU KWA ALIONESHA NJIA, ALITUFUNDISHA UTAWALA BORA:
Naomba serikali imwangalie kama hupo uwezekano naomba mweshimiwa Rais amwongezee hata miaka mitano. 5