المدة الزمنية 1:41:19

RAIS MAGUFULI ALIVYOPOKEA RIPOTI YA CAG NA TAKUKURU LEO IKULU DODOMA..

بواسطة Global TV Online
37 371 مشاهدة
0
127
تم نشره في 2020/03/26

RAIS MAGUFULI ALIVYOPOKEA RIPOTI YA CAG NA TAKUKURU LEO IKULU DODOMA.. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Leo Machi 26, amekabidhiwa Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2018/2019 iliyowasilishwa na Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere... Aidha Mhe. Rais amepokea Ripoti ya taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ya mwaka 2018/2019 itakayowasilishwa na Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Taasisi hiyo Brigedia Jenerali John Mbungo . Hafla hiyo inayofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.. UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982) ( +255 676 229628) Email: globaltvbest@gmail.com abbymrisho@gmail.com HABARI MPYA DAILY: http://bit.ly/habarimpya HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe http://bit.ly/globaltvonline

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 39