المدة الزمنية 12:27

MFANYAKAZI wa MOCHWARI Afunguka - WATU WANATAKA MAJI YA MAITI, HUWA TUNAWACHAPA BAKORA

بواسطة Global TV Online
337 731 مشاهدة
0
1.3 K
تم نشره في 2021/05/25

MFANYAKAZI wa MOCHWARI Afunguka - "WATU WANATAKA MAJI YA MAITI, HUWA TUNAWACHAPA BAKORA!" MFANYAKAZI wa nyumba ya Kuhifadhia Marehemu Katika Hosptali Ya Mount Meru iliyopo Mkoani Arusha ameleza changamoto aliyoipitia wakati wa wimbi kubwa la taharuki ya ugonjwa wa Corona Ulivyoingia Nchini na changamoto zingine tangu ameanza kuhudumu kwa miaka 18 iliyopita. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 324
  • @
    @RuzoOwzyمنذ 3 سنوات Mtangazaji na Rasta wote wapo vizuri. Maswali yote tunayojiulizaga kuhusu mochwari, kama yamejibiwa.
    Labda moja la namna gani alizoea hiyo kazi, coz mwanzoni nahisi nae alikuwa anaogopa.
    25
  • @
    @ruthshoo4377منذ 3 سنوات Yaani huyu kaka ni jasiri mnoo na huduma yake ni nzuri Mungu aendelee kumlinda. 33
  • @
    @abdulparesh4899منذ 3 سنوات Mtangazaji unauliza maswali vzr Sana babu big up Sana 42
  • @
    @ukhutfatumah1154منذ 3 سنوات Nimejitadi kusikiliza mbk mwisho lakin alhamdulillah nimejalibu kusikiluza kwa makin ili niulize lakin yote yameulizwa na kujibu respect mtangazi much love From UAE 3
  • @
    @eliyantv24news26منذ 3 سنوات Rasta yupo vizuri sana,hongera sana,Mungu akubariki 1
  • @
    @kuschprince3216منذ 3 سنوات presenter na mhojiwa mko"NOMA"ile mbaya!!! This is what we call jounarlism; keep it up bro watching from europe. 9
  • @
    @pichunakichuna2111منذ 3 سنوات Nimempenda rasta ako sawa sana mugu akubariki sana ❤️ 4
  • @
    @khadijahomankweliyamjahaya7421منذ 3 سنوات Safi sana kaka unamsimamo na kazi yako una hofu ya mungu maan haya maji kweli wapeni bakola aseee imani chafu 5
  • @
    @michaeledward478منذ 3 سنوات Kaka nice sana mungu akulinde na akusaidie
  • @
    @heritier5119منذ 3 سنوات Mwanadamu asiye na akili umuua mwanadamu mwenzake hali nae ni marehemu mtarajiwa 37
  • @
    @trizahwanjiru4978منذ 2 سنوات Yaongopesha jamani ,ewow Mungu wangu umetupea talanta nyingi i say
  • @
    @RUFUS_97منذ 3 سنوات mtangazaji upo vizuri sana sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. 1
  • @
    @sakinaramzu2878منذ 3 سنوات Unakaz nzuri na roho mzuri sana rasta mungu akutunze 9
  • @
    @moshimgaza5642منذ 3 سنوات Mungu akulipe. Watandikeni wakome mungu atakulipa kwa hilo 1
  • @
    @mamachris6811منذ 3 سنوات Rasta ni Imani,dred ni mtindo wa nywele 19
  • @
    @pizohunter7703منذ 3 سنوات Jiran mwenye huduma kubwa kwa jamii pamoja sn brother mwenyez mungu akutunze sn kaka
  • @
    @charlesmollel1845منذ 3 سنوات Mtangazaji. Wew n shujaa. Mbunifu.. utafika mbal sana 1
  • @
    @captinadams284منذ 3 سنوات Huyu Rasta ako very mature and I love his courage. 1
  • @
    @yusuphjonathan2970منذ 3 سنوات Hii kaz naipenda Sana Ila sijapata nafax ya kaz Kama kunakaz munambie wadau
  • @
    @veronkanini3556منذ 3 سنوات Huyo mzee nimempenda aki mungu akumpe maisha marefu
  • @
    @ahmadkasika7114منذ 3 سنوات JAMAA NIMEKUELEWA MSTARI WA MWISHO,
    TUWAJALI NDUGU ZETU WAKIWA HAI, SIO MTU KAFA NDIO MNAMJALI HAINA MAANA YOYOTE
    20
  • @
    @hassandalida7506منذ 3 سنوات Hongera sana ni mara yakwanza kumsikiya mtangazaji muzuri kama wewe
  • @
    @shannelika718منذ 3 سنوات Mtangazaji ametisha sana maswali mazuri mno 8
  • @
    @fatmabhai2812منذ 2 سنوات Mna wazimu hamna maadili.. maiti wa kike hawezi kukoshwa na mwanamme. Kidini khaswa kiislam hairuhusiwi. hao wengine sielewi .hata iyo kuzalishwa pia id="hidden4" class="buttons"> kidini mjamzito azalishwe na doctor mwanamke namshkuru Allah kuniumba muislamu na kufata maagizo ya dini yangu ALHAMDULILAH ....وسعت
  • @
    @wallesmdoe9164العام الماضي Ras yupo vzr sana anavyojibu maswar siopw
  • @
    @elizabethisrael4256منذ 3 سنوات You can not be normal .No! Hela wanaoroa wanaotaka hayo maji ni mengi lazima umuogope tu Mungu ndio ikatae
  • @
    @beproudofyourself.3876منذ 3 سنوات Mtangazaji auliza maswali vizuri mkono ukiwa juu ya jeneza mm siwezi kweli 1
  • @
    @jayjay4313منذ 3 سنوات Da, mtaua wachawi wa watu rasta mjue lo, sio kwa huduma hiyo ya mzigo wa bakora. Bora mngewalaza pembeni ya maiti ili uchawi uwatoke. Cheka class="buttons">sana leo, bakora tu babake Da, Mtangazaji nimekukubali, point juu ya swali, haemi mtu, na wala halipotei bando huku. ✌ ....وسعت 12
  • @
    @thegreat.9869منذ 3 سنوات Hahahaaaaa. rasta anajibu simpo sana jamani
  • @
    @neemaatanasi3498منذ 3 سنوات Maswali yapo vizuri na majibu pia yapo vizuri kiufupi mpo vizuri 5
  • @
    @avitusmichael5منذ 3 سنوات Nakukubali mwamba, unajiamini sana asee 1
  • @
    @J4UProمنذ 3 سنوات Najivunia kuwa muislamu
    Maiti wa jinsia ya kike huoshwa na wanawake na wanaume huoshwa na wanaume.
    26
  • @
    @aloycerobert2802منذ 3 سنوات Weacha tu namkumbuka jamaa yang aliye niandalia Baba yang mzazi ase wako vzr sana 1
  • @
    @petroniammasi6999منذ 3 سنوات Nimemkubal sana Rasta hata Mtangazaji yuko vizuri
  • @
    @bitesimon679منذ 2 سنوات Rasta Ana point interview ilikuwa nzr , mjali mtu akiwa hai
  • @
    @filbertnashon7160منذ 3 سنوات Sasa maji ya Maiti wanapelka wapi?? Aise ebo
  • @
    @mussataliye7815منذ 3 سنوات Maswal yenye akil na majibu yenye kueleweka 4
  • @
    @akinandrea3911منذ 3 سنوات Safi sana! Maswali na majibu mafupi yaliyonyooka.
  • @
    @linetnekesa8019منذ 3 سنوات Una ujasiri Kaka mm hAta kupitia hAta karibu na kaburi nyakati za usiku siwez sembuze Mauro balahaaa 1
  • @
    @salimalaquimane2640منذ 3 سنوات Alhamdulillillah kua muislam maana ni lazima ni wanistir wanawake wenzang 15
  • @
    @ibrahmanoma4179منذ 3 سنوات Mtangazaji yupo poa kwa maswali na jamaa anayejibu Yuko poa kwa kujibu maswali. 2
  • @
    @shadiamuwadhi8717منذ 3 سنوات Ni kwanini mtu umupeleke ndugu yako kwenda kuonya na waitu wasio muhusu kwanini tusiwakoshe sisi ndugu kwahiyo inamaana gani dah naomba mungu kama Niko id="hidden6" class="buttons"> karibu na ndugu zangu wanikoshe wao sio wanipeleke huko dah wakinipeke wameninyanyapa ....وسعت
  • @
    @mamadestiny8467منذ 3 سنوات Hahaaaa heti bakora safiii chapa na msiwape
  • @
    @saidswalehe2907منذ 3 سنوات Wakristo hamna kitu kabisa yan Mwanaume anamuosha mait mwanamke daaaaaah
  • @
    @jothamekisouke3374منذ 3 سنوات Baadhi ya vtuo vya afya huwa inatokea hyo 2