المدة الزمنية 6:28

Uganga wa Asili - Ulishawahi kushuhudia live hii kitu

بواسطة Mau Mpemba
274 815 مشاهدة
0
574
تم نشره في 2016/10/17

Mau Mpemba akifanya unganga wa asili. Kuhusu sisi: ZMOTION STUDIOS inajihusisha na utengenezaji wa filamu za kiswahili, matangazo, na video fupi za vichekesho na vituko mbali mbali. Ukijiunga na chanali yetu kwa kubonyeza 'Subscribe' utakua miongoni mwa wanaopokea ujumbe wa barua pepe kila tunapoweka video mpya, pia utapata fursa ya kujishindia zawadi ya mwaka ukiwa utakua mfatiliaji mzuri unae 'share', 'like' na kukoment katika video zetu. Ili kutoa maoni yako na kujua video gani ipo katika maandalizi kwa sasa, usikose kufutailia ukurasa wetu wa facebook link hapo chini KUTANA WA WASANII WANAOKUJA KWA KASI KATIKA VICHEKESHO -Mau Mpemba -Makame Nuhusi http://facebook.com/zmotionstudios -~-~~-~~~-~~-~- Please watch: "MAKAME NUHUSI ANAHONGA KIWANJA ZANZIBAR (FUMANIZI)" /watch/gQXSp186wpF6S -~-~~-~~~-~~-~-

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 136
  • @
    @Asiliمنذ 5 سنوات Hichi ni kipande cha filamu 'Fimbo ya Ngomani' inayosimulia historia ya kweli iliowahi kutokea , sio video ya tukio lenyewe kweli! Imani za wandaaji id="hidden1" class="buttons"> wa filamu hii zipo kutokana na mtu mwenyewe, imani zao huwezi kufananisha na kazi hii, kila mmoja na misimamo yake juu ya matukio kama haya.Asanteni. ....وسعت 1
  • @
    @ALIMOHD-bk9lrمنذ 4 سنوات Gabo the Gamba nakukubali Sana especially ktk filamu pale unapojishusha keep it up mazee☑️ 1
  • @
    @muhammadhossen1306منذ 6 سنوات Kweli Nimekumbuka Mbali Sanaaaaa Mta Wa Homu kwetu
  • @
    @fundiali6457منذ 6 سنوات hiyo ngoma tamu sana ikipigwa km unajijua una mizuka usikae Karibu nenda mbali unaweza ukaja kujikuta ushaingia unacheza tu mana hiyo zumari ndio kila kitu na ngoma majini wanapenda sana 2
  • @
    @sadabkari5532منذ 2 سنوات Ila mau mpemba kama shetani yupo kichwa ni kweli iv
  • @
    @mzembemakini3532منذ 2 سنوات Hiiiii muvi kali San mau lini inaachiwa na icho kizumari hapanlipo najikuta naicheza tyu
  • @
    @khamisabdalla7709منذ 7 سنوات Mau ni fundi sana Allah amuweke na amzaidishie kipaji chake 1
  • @
    @adillhabib2006منذ 5 سنوات mau unajini ukindu atongoa ubafiii apenda mvuja mavi, mchapia tumbiri mavi ya nduduuuu 1
  • @
    @mosaidi2633منذ 6 سنوات hii ngoma ni mchezo mbaya na watu wanakaa kutazama tu,,lo!!! 1
  • @
    @aliissa6632منذ 5 سنوات Huyu mau sio mchezo anao mdomo wallah simasihara duuh 1
  • @
    @florrybenjamin8805منذ 6 سنوات jmn mm natafta mtaalam wa ukwl hapa tz amjuae anisaidie no plz 1
  • @
    @dashuu5295قبل 11 أشهر Juzz tuu mtaan kwetu tulkuw na pungwa huwa nacheka vjana wakshavuta mabangi ukiplus na ilo zumar na mbwembwe za mganga na shangwe za watazamaj wanajkuta wamechagawa.huwa vtukoo wallah
  • @
    @halimajuma704منذ 7 سنوات hii ngoma nimeipenda ila mau mpemba wewe nibalaa. 1
  • @
    @shambuwamajengo9453منذ 6 سنوات Uko wapi huu mchezo mauu naona leo nimekumbuka za kwetu bubwini bwaga 1
  • @
    @friesinger0963منذ 7 سنوات naona mau mpemba anataka kumaliza gemu live. mkojo atali jmn 4
  • @
    @zuheorsalim7759منذ 7 سنوات kumbe hiki kimau kishirikina namba hiiii
  • @
    @omarhamad9489منذ 4 سنوات Sasa ss wapemba tusishudie na ndio ulipo anzia huu kwakweli mm siwezi sikiliza hiii zimari maana huuu ni uganga kamili unaweza kupandisha hisia dakika1 ukashindwa kujielewa 1
  • @
    @khamisjuma3841قبل 11 أشهر Dah yaani nimekumbuka mbali Miaka ya nyuma ilikua kila mtaa utasikia Tena mara kwa mara . Hii ilisababishwa na wazee Babu zetu kuwatupia majini watu ili id="hidden5" class="buttons"> wasumbuke mana vile vitu vitolewavyo ndio kama chakula cha hayo madudu. Sasa hivi hakuna sana kwani watu walibakia wanatoa watu sana yaani kunyongwa ndio imezidi kupitiliza . ....وسعت
  • @
    @salmasaid7254منذ 7 سنوات hii hatali sas ao. si wanatafuta jini bure hahah 2
  • @
    @suleimanabass9280منذ 7 سنوات Mnatafuta pepo kusudi wakija mseme mnarogwa kumbe mushajiroga 2
  • @
    @muhammadhossen1306منذ 6 سنوات Kila Aliye Tizama Hii Nazani Ashawahi ona Au kufanya Hawezi 2_Kutowa Sababu
  • @
    @shamimasalim6912منذ 5 سنوات Nimeshitka nimeona simu yangu imezima kabisa nikasema ndo jini laja kwangu nini mana hii mipungwa naijua watu wa majini hawa subhana Allah 3
  • @
    @brysonuronu5862منذ 5 سنوات Yaeza kuitwa asili lkn huo ni ushirikina uganga na utumiaji wa Nguvu za giza.. Mungu pekee ndie wa Kuabudiwa na kumtegemea .(Promotion of witchcraft and ) 2
  • @
    @hadiahiisasaaibumohammed9700منذ 8 سنوات enyie mwatafuta kuja ingiwa nimapepo kusudi 3
  • @
    @albassamjjamali9205منذ 5 سنوات Halafu hii ngoma skuiz haipigwi huku hom alikuwepo mganga mja anaitwa dedi kafa na ushirikina wake ilikua kilamwakaa palikua hapatoshii 2
  • @
    @mohammedmkomi9087منذ 6 سنوات Mpiga tarumbeta mashavu yamemvimba duuu 1
  • @
    @qaboossaid2259منذ 7 سنوات musidhalilishe kazi za watu,munatuchafulia zumari yetu. 2
  • @
    @jumasaid7695منذ 5 سنوات Tafuteni maudhui nyengine , msihamasishe ushirikina , haya mambo hayana faida yoyote. 1
  • @
    @haithamrubeabuhet2637منذ 5 سنوات Umundi uo napenda kuangalia hapa mtaani kwetu unapigwa bc sikosi
  • @
    @fakhwamajid6873منذ 6 سنوات unaingia lini sokoni mana upo mdamrefu vipande
  • @
    @mahfudhamad232منذ 6 سنوات Zumar inapigwa kiwan kisima bwego uyo anawakilisha
  • @
    @steventitus2174منذ 5 سنوات wanafk wkubwnyny mkewmtu umshkehke ivyo kumanna
  • @
    @brisketkidari1623منذ 8 سنوات da hii niasili ya bumbwini wanaita pungwa.ikipigwa zamani watt wote ndani 5
  • @
    @hajihija5400منذ 6 سنوات huu ni ushirikina mkubwa sana watu hua wanaomba majini na kuyaridhisha na kuyachinjia ila shirki ni mbaya sana na hukmu yake ukifa bila kutubia motoni moja kwa moja bila mjadala .tuchukuwe tahadhari. 8
  • @
    @suleimanbakar6097منذ 5 سنوات Enzi za watu walipokuwa wakishiba,sio leo mapembe na dagaa
  • @
    @albassamjjamali9205منذ 5 سنوات Huyuu sekembuke tasijui anakula nn nikipta kwake nikimuona mnyongee hahahaha